Kwa muda kidogo sasa nimekuwa nikijiuliza hivi ingekuwaje kama wasichana wa kibongo wote wangehamishiwa kwa jirani zetu Kenya na hao wasichana wa huko Kenya tungeletewa huku Bongo hivi ni kipi kingetokea?
Tungeweza kweli kuwa-handle wa Kenya kwa ukorofi wa kupiga hadi waume zao?
Wakwetu wataambulia mimba sana ,kwa maana wanaume wa kikenya watachanganyikiwa Na urembo wao. Wakenya urembo wameona ni avril Pekee yake. Huyo mrembo tuu huko aisee.
wakenya acheni kujisifu kwa vitu ambavyo hamuviwezi.kwanza kabisa the majority of kenyan men are sexually weak b’se of their high consumption of local brews and miraa chewing.
I also have some hypothetical questions, you know like what would happen if I gave a shit? or what if my dick was a little bigger? would I stop turning everything into a dick measuring contest? so many questions.