[ATTACH=full]177110[/ATTACH]
Masoud, Mungu akulinde.
Huyu jamaa anajitambua sana
hilo diaba hata katikati halitafika
kwanza likijaa wanalitoboa
Kipanya the great
noma sana
Ujumbe mzito sana,Iyo ni zaidi ya fasihi andishi
Huyu jamaa anajua
Kamua kodi kwa wanyonge litajaa tu
mwananchi aliyeshikwa anaogopa kabisa huo mzigo utajaa vipi maana kilichopo na kinachohitajika ni hatari
Mshale umekwamia kwenye 1.5 bila shaka hicho kinywaji kinaitwa Trilion
Hicho kichwa cha mwenye suti nyeusi kama mlima oldonyo lengai.
Hivi nani anaewalazimisha kutusomea bajeti hewa?
Kipara ng’oto.
Kaazi kweli kweli
teh… ngoja nimtag jiwe.
Ki sports
Always Masoud is the best aisee
Huyo alokamatwa ni nani wakuu?
Leo tupo na Bajeti ya Kijani