Kijiji Imechange kweli

Manze naangalia kwariti of content hapa nashangaa…

kitambo kijiji ilikuwa the source, yaani factory ya content, to be found in kenyan heck even east african blogosphere, Mukuru kwa sukabaga hadi ata twirra KOT agenda saa ingine…

siku hizi eti MKZ ndio content inatolewa ikiletwa kwa kijiji… wallapened?.. when was the baton handed the other way?

@gashwin
niaje , hii Ni handle gani sasa

huyu Gashwin namtambua tuu kwa content lakini sio mimi Ango… I am my own man…

Ati"wallapened"!!
Humbwer, ghaseer takataka ya manispaa.
Keep walking, seji

Wewe ni contributions gani ulikuwa unaweka za maana? Wale washenzi huwa hawacontribute ndio hujua ku-judge.

kwa hivyo nikiona mtu amekunya nami nivue suruali niwekelee kinyesi hapo pia?.. tucker tucker… ghaseer…

You lead by example. If you want good content, start by sharing yours. Coomermercore.

example ndio hii nimekuwekea gaylord… sio kama ile chieth munatulisha kawaida… tena ya recycle bin za MKZ…

Hii post ya kucomplain like a hormonal bitch? This is an example of good content? Mayooooooooooo!

peleka maskio zisokotwe pia kama husiki na huo mcoondo wako… swali legit unajibu na mishuto… unadhani utapewa headmaster hapa?..

@mpendakazi toka kwenye hiki kijiji

Swali legit manyoya? Hizi maswali za kipuzi either uulize mamako ukishamumwagia ndaaaani, ama uunde kijiji yako ukue unapost content ya maana. Unaeza enda pia kwa kijiji cha wazee. Btw I’m doing you a favor even replying to you, VS kama mimi normally huwa si-engage ghaseer VEs. Shukuru sana you have my attention kijana.

another gaylord talking… nitoke wewe ndiye ulinileta?.. jeenger sana… walalo chafu… shikaneni vikojozi na @captain obvious mukamaliziane na huuuuko…

Heshimu sponsors kijana. Wewe ni mtoto mdogo saaaaana hapa.

@mpendakazi Rudi hukooooo
[ATTACH=full]285116[/ATTACH]

Heshimu grey hair kijana… kitabu kubwa inaasema youth is to be admired for virility and age is to be respected… Munajifunga own goals na mali ya tagged, tinder na facebook halafu munaona hiyo ndio progress?.. bure kabisa…

sasa kama huyu mzee ulilipa 3k?.. ama?.. shienzzz kabisa

Wacha kupiga kelele. Tuchapie content. Actions speak louder than words.

Use your original hando, Wacha usumbufu mbwa koko!

mimi ni consumer kama tu vile nataka kukuconsume mapaja zako pale kwa inbosk, complete with a sprinkling of cellulite and stretch marks… very delicious…:p:p:p

so nataka creators wajikaze kiasi… sio kutuletea mambo ya space zingine tupige michene nayo…

ni kama vile paka yako inaeza rudi home ikuletee zawadi ya lizard ama chura imekufa juu eti inakupenda sana… najua this juveniles cant relate…

K.i.h.i.i.i.i.i.i clickbaits yako hatutaki hata na dawa… ama ni thesis ulikuwa ukifanya… ushamaliza research ya social media marketing?..