Kijiji iko ngangary wadau.

mob sana

Kwani alphabet letter organisation walikuwa wamechukua usukani?

Maghasia nyinyi tulifikiria kijiji imekufa for good

Rudisheni turedio job.

I had already started missing @kanguthu

Niko job mdau.
Rusha Gilbeys.

Never a dull moment :smiley:

Deorro ndio turedio. Kumbe hata jina ulichukua ndio watu wadhani wewe ni IT technician lakini hakuna kitu

Am very sure those ghassias in the Senate wameongea sana thinking the village has malaysiad.

Had you all gone to have your left balls cut in solidarity with the mono baller

No wonder jana nilikuwa najaribu kuingia kijiji inakataa. Used a different device and same problem

:D:D:D:D:D… malisaa kabisa hizo burukenge!!!

Senate ndio gani mdau?