Habarini?
Hivi KenyaTalk wana App yao.
Kama wanayo inaitwaje?
Jaza mapengo
Niaje B_N_W_ ?
:D:D:D
:D:D:D… We wajala acha kusumbua hapa. App upeleke wapi na bado pale mukuru kwa zuckerbaga ni tatizo kwako.
Hata hiyo Zuckerberg ana App.Kulikoni?
Upuzi huu ndio nimeamkia
uyu mundu ena urimu muingi biu !
What?you are not understandable.
Wazee tukatike
@admin I can come with one, can we coordinate?
:D:D:D:D