KenyaTalk:App ya KenyaTalk ipo?

Habarini?
Hivi KenyaTalk wana App yao.
Kama wanayo inaitwaje?

Jaza mapengo

Niaje B_N_W_ ?

:D:D:D

:D:D:D… We wajala acha kusumbua hapa. App upeleke wapi na bado pale mukuru kwa zuckerbaga ni tatizo kwako.

Hata hiyo Zuckerberg ana App.Kulikoni?

Upuzi huu ndio nimeamkia

http://www.kenyatalk.com/index.php?attachments/bingwa-png.56315/

uyu mundu ena urimu muingi biu !

What?you are not understandable.

Wazee tukatike

http://i.giphy.com/xT0BKwRKQcDGqKXmg0.gif

@admin I can come with one, can we coordinate?

:D:D:D:D