Hii Nairobi yetu manze kila msee ni mwizi kila mtu anataka kukuibia na sijui hii culture ya wizi ilitoka wapi meen.
A few years ago kuna vidaa ilikuwa inatrend online. I think ilikuwa sides za Molo ama Naivasha mahali wanauza viazi kando ya barabara. Kuna msee alikuwa anadai kubuy viazi alishuka gari alafu kuenda kushika ile viazi iko kwa ndoo ikaanguka yote na ndani. Hao wasee wa kuuza kuna vile waliondokea iyo place vibaya sana. Walidhani uyo msee ni karau amekam kuwashika. Hao wasee walikuwa wanabalance viazi kwa ndoo inakaa ni kama ndoo imejaa kumbe huko chini hakuna kitu. Unabuy viazi unapata hakuna any manze. Staying on potatoes, ukienda kubuy viazi nimenotice tabia flani, hao watu wa kuuza viazi wanaeka viazi kubwa juu alafu uko ndani wanakuekea viazi ndogo bana. Unabuy viazi ukifika home bana unapata ni tule tudogo hata huezi toa ngozi juu ukitoa ngozi kanaisha bana.
Ukienda kubuy mahindi, wanakuuzia mahindi na gorogoro lakini gorogoro yenyewe manze imekatwa half. Wizi wa hali ya juu. Gorogoro ni 2kg lakini ukipima afta umeekewa haifika hata 2kg manze.
Ukienda kubuy mbao pale kwa timberyard jamaa wa kukuuzia ameinterfere na measuring tape intentionally. Instead ya measuring tape kuanzia 0 ya uyo msee inaanzia 1. Unanunua mbao ukienda kufit kwa nyumba haiingiani bana. Ukisuggest kutumia measuring tape yako huyo msee anakwara ati yake pia iko sawa. Mkora kabisa.
Kuna pia zile lorry za kubeba mchanga na kokoto uko Ruai na Kamulu, hao majamaa huko chini wameeka mabati flani bana unapata wanabeba mchanga less. Instead ya 10 tonnes jamaa anakuletea 7 tonnes na bado ng’ombe ya mtu inakulipisha 30k malaya za watu hawa.
Ukienda kubuy nyanya, ule mathe wa kukuuzia nyanya kumbe ameongeza kasuku ndogo ndani ya ile kubwa ukibuy nyanya ya soo unapata haifiki. Nyanya za soo in reality unapata ni nyanya za chwani.
Huko Naivasha ukienda Naks, watu wanakuuzia yoghurt mbaya bana. Unanunua yoghurt although we si dereva inabaki tu safari mzima umeendesha mbaya. Kuna siku nilikuwa naenda Western, nishainunua iyo yoghurt iyo njia, we jua iyo safari ilikuwa ndefu walai weeh sitaki kukumbuka.
Unaenda baze ya keg, ukibuy keg uyo mathee anakuekea keg imejaa povu kuruka na mjinga anataka umpee 70 bob bana. Yaani unalipia keg na pia unalipia povu. Iyo cup yote kubwa unapata unakunywa cup nusu tu alafu uyo mathee anakushow hana straw ukunywe na iyo cup ivo ghasia yeye. Na sijai jua kwa nini baze za keg zinakuanga na mamathe wamebeat kuruka. Wako overweight na wanakaa wanyanye.
Alafu ukienda butchery kubuy nyama. Jamaa anacheza na iyo weighing scale yake. Kuanza izi digital wezi kabisa. Nyuma ni 1kg lakini ukipika inakaa nyama quarter bana. Meffi hao watu.
Hii kenya yetu kila mtu ni thug banae. Hata karau anakuanga a thug in uniform. Hope Sugoiman atatusaidia.