Kenya Talk mnashindwaje kutengeneza App yenu?

Sikutegemea hili kutoka kwa wakenya!!
Mnaboa sanaa

Me zile app niko nazo zimetosha.Kenya talk should remain as it is.

Mkimbizi keti pale ——————>

Naona tabu mpk uingie browser, pia haiko friendly.
App ndo mpango mzima

Kweli hawa ndugu zetu wanajisifiaga sana kwamba wako smart, sophisticated, and business oriented people but kwa ubovu wa hii forum yao ya nchi nzima nimegundua wako mediocre and local kinyama.

C’moon Kenyan keep it classy and not trashy.

Ndùgatùrume nyeeno!

Ahahaha!! Thanks gimmie some more bruh!

Niaje msee wa mkalala?:D:D

Someone translate this phrase. Nataka kujua hilo tusi likoje.

Mods I’m lost in translation… Help out!:smiley:

it is jus an advice and good one

Kungekuwa na App ya hiiweb ingekuwa poa sana… Web ipo bored… Imekaa hovyo

Web inascratch kama CD za DJ Afro!? Loh!

Aibu gani hii ndugu zetu Wakenya!

Inabidi tuwaambie tu… Nyumba ishaingia mgeni… Hivyo inahitaji kupendeza

PUGA!!

ukiona huelewi na wewe unamjibu kwa busara kama kama hivi MAMAYO,MANINA,POPOMA NK

:p:p:p:p:p:p:p:D:D:D:D:D:D

Naona kuna watu BAN zinawahusu kwa maana walishazoea kule JAMII FORUM

‘Usimtukane mwenyeji wako wakati ungali mgeni kwenye jiji’

Tusi liko wapi hapo we kijana!? Nimesema ukweli mtupu.

why build something thats totally unnecessary i mean how idle can one be hadi mnaitisha app
what can your apps do now? Nada?
mgeni akikurabisha usiadhani umepewa cheo
refugees shouldnt bad mouth