Kedong ranch

Kuna watu watakula mishale na marungu kesho

Ambia polisi.

kwa nini na mimi sitakuwa hapo?

Kama Mkenya Mzalendo wanyaks.

hii ni ile ya Narok? @kiLo- unaona haya maneno? Ile story tulikua tunaongea sijui kama utulie kwanza huko kuna kelele kidogo

2 Likes

You saved my hide there, bro @Ice_Cube. Ninekua ka pin cushion kwa hizo mishale.

2 Likes

mimi ni honorary maasai,nitakuwa huko kama ole wakanyama

3 Likes

Baaaas! Mission sasa itakua kutafuta factory yaku-assemble half Maasai kids

1 Like

I will be doing the head hunting for suitable lasses, wakanyama will do the sedation halafu the manufacture tunajua ni nani, lakini we step in na wakanyama here and there kukilemewa:D

2 Likes

Shida siyo wamaasai ni wakikuyu,wanataka twende wapi?

1 Like

ukienda kona baridi jaribu kuwa mkarimu ,wamaasai hawapendi watu wachoyo kama okuyu

1 Like

Niliwasmbia niwauzie land mkanyeta

1 Like

msaliti niaje?

1 Like

Drone yenye iliamka Sidney Aus, heading to Yemen, imepigishwa kona. Narok wataona arrows zinalipuka

1 Like

NILIWAAMBIA WAMAASAI WANATAKA SHAMBA ZAO HAMUKUSKIA

:smiley:
:D:D:D:D:D Hemoglobin laughs ka za dakitari

1 Like

huko lazima tuwe wakarimu hii mambo itulie

2 Likes

Hii Kedong ranch iko santa fe?

Sio hemoglobin. Chlorophyll. :slight_smile:

utheri wa lari.