KDF Wameanza Operashen

[ATTACH=full]496127[/ATTACH]

Heavy equipment, highly intensive but am sure will not deliver the results!! Why not approach the rustlers on man to man basis tuone who is the best! We need live reporting from Ktalk generals

Safsana

What they need is a helicopter with heat infrared sensors to detect the thugs at night. Also use of drones itasaidia…anyways wamalizane

@Gaza is ready.

[ATTACH=full]496132[/ATTACH]

Home team is also training hard.

Hapa ni Mauano Wazeiya!!

Drones are being used. Guns ni zile powerful fitted with binoculars.

This time round ni fire, hakuna kubembeleza underweight village warriors.

Sasa hio ndio they can’t do sababu hapo rustlers have the upper hand since they’re used to the environment and they have the will to fight…

[ATTACH=full]496142[/ATTACH]
Hizo guns za binoculars mimi nimeziskia leo na wewe

zile za zamani zilikua zina fitiwa na telescopic sights

[ATTACH=full]496141[/ATTACH]

Hizo za binoculars huwa kali sana hizo hata haziitaji kdf kushuka ground kwa msitu ati kutafuta rustlers hio inalock rustlers na mambo yake kwisha:D @Billy Drago kuja ufafanue zaidi kuhusu hizi powerful binoculars fitted guns

Tupatane kwa ground wadau … ground ndo msema kweli. We don’t care if you show force projection ,lakini mkuje pole pole … otherwise make sure you come with enough body bags. Lucky for us … we don’t need them, we have the hyenas for that.

Hizi zote ni side shows,kuwadanganya they are taking actions.
Real rustlers washavuka border

Wereeee…unatishia KDF,lakini najua wewe uko miles away from KE

Hapa ni Fighting for Salary Vs Fighting for a Cause

Wazee, akina mama na ata watoto watakipata…rustlers wako UG

Sorry for that confusion, i meant telescopic.

Sasa ni pambano

How to professionally say - you are an idiot… :smiley:

A siple drone with a few helfire misiles and an infrared camera with heat signature should do the job in like a few minutes . Everyday for a week. The saga will be over.

Huyu ako Alberta Canada