[ATTACH=full]62942[/ATTACH]
[ATTACH=full]62943[/ATTACH]
[ATTACH=full]62944[/ATTACH]
:D:D:D:D:D:D:D @imei2012 huyo Euny Euny hajakushow poa ati hauna meza kwa nyumba .
:D:D:D:D
OH SHAIT!!! Euny Euny komba mwiko wewe
hahaha…kdf
he he …umeguzwa pahali:D:D:D:D lakini kusema ukweli most soldiers ni moto wa kuotea mbali and are alcoholic whores
i second you
True. Hata wale wamepita 50 years ni wahanyaji sana.
Hawa maninja wanajua they can die anytime so lazima watambaze mbegu vilivyo
The characteristics described above fit an individual zote except uniform na fyatu part.
[ATTACH=full]63011[/ATTACH]
After such a training what do you expect?
Culture naona umeamua vita hope uko tayari i have declared fatwa on you:D:D:D
Bring it on hahaha
Mazee nimekauka mbavu:D:D:D:D… I live among them na enyewe hizo assessment ziko on point kabisa. Na kujichocha… Mtu ni wa msahara lakini ni kukopa kukopa kila siku ya mwezi… Na kulipa ni matanga… Deni juu ya deni…