Katuni: Kwa tuliotoka JF hiki ndo kinaendelea

Umeelewa nini?
[ATTACH=full]175550[/ATTACH]

Kijani CCM
Nyekundu CUF

Basi CUF wapo kimya kwasababu wamezibwa mdomo CCM wanapiga kelele

Ngoja nikae sawa kwanza

@Pascal Mayalla

hahaha!, huwezi kuzibwa mdomo na kiumbe kingine labda kikatishe pumzi jumla jumla…

Safi

Yumu kumbe?

Ndio!

Watashindana lakini hawatashinda

Afadhali aisee ngoja tuje huku tu sasa ila sasa zile content zote za kule JF ndo basi tena aisee,daaah!!

Uzuri huwa wanatusoma mpaka wameamua kutuziba kwa nguvu!! Badala ya kubadilika wanatumia ubabe

nafrah kuwaona humu ndugu tuliokumbwa na dhahama ya kule tanzania JF ila nimemua kuja na jina jipya maana bado hatujajua utendaji kazi wa moderators wa humu isije kuwa ni akina yuda

Dah!

Afadhali tumechoka na whatsapp na insta ila mdogo mdogo tutafika.

Kabisa

Kuzuia watu kusema hakujengi lolote kabisa… Hakuwezi kuijenga nchi wala kuwasaidia watawala

Wamekataza siasa za majukwaani lakini wao wanafanya siasa za majukwaani

Taifa la ajabu sana lile

Kumbe

Ila kama wameziweka baadhi.