lafiki yangu mwaka umemwanzia vibaya pale kasarani.aliye mwamini kua Bibi ametoweka na kitita cha pesa takriban shilingi laki moja.sasa ni wanawake kuenda pesa ama ni kasumba ya kutoaminiana katika ndoa.Biblia inasemaje kuhusu wanawake na fombe.ya mwaka mpya hayo,Niko nyamira express ndo natoka kisii.
Iko muchinga wenu inaitwa @Eng’iti ambia kontakta wa nyamira express basi ikirudi return asikose kuitoa hii nairopi nitalipa
*rafiki
mkisii tulia
bibi ni saini- ai?
Siwezi relati… Pesa atapata zingine, na mke mzuri pia, hamna shida hapo
huyo Bibi alikuwa shiny eye ama dim eye?
Afadhali ameenda na pesa akamuacha hai. laki moja si pesa kakangu. Shetani amuondokee, na nakuahidi kuwa atarudi na kusingizia mwingine.
Laki moja? Aaaaaaaaaaaaaai, hiyo hata inaweza nunua shoti moja pale Lafikiz?
100k sio kitita
Kuna mwingine dim eyed bibi yake alisafisha nyumba na akahama with their three kids a week ago.
^^^si hapo unacelebrate? You start aflesh (sic!)…get new flesh!
The guy is more worried about his kids considering the inevitable split from his thieving bitter-half.
I swear you are swidfil.
100k amejilipa slices. Next
:D:D:D:D:D:D