karibuni lunch...kibandaski manenos

https://pbs.twimg.com/media/DP9IadyXcAERXpo.jpg:large

5 Likes

hio ni food mimi hukula breakfast @Jirani leta ile picha ume save yangu ya chakula ya umbwa ya patel :D:D:D:D:D , lunch sembe na nyama lazima then nifunge mlango nichape pawanap ya 45 minutes mbaymbaya

5 Likes

Yaani hiyo food ni 130/

10 Likes

Sawa cashier.
Kunia ulale

4 Likes

utatumia guarana na chips i oil mkia yako ?

2 Likes

Wacha mchele na madoido, hio ingine ya yellow ni nini??

1 Like

:D:D:D:D:D

1 Like

hiyo inakaa waru

1 Like

waru mtu wangu.:D:D:D:D

DO1 uliacha umama

1 Like

ndio hio man.na ni moto kuruka…leo nakula chakula ya peasants coz sinaga class mimi.i fit anywhere

1 Like

:D:D:D:D
Meffi wewe

1 Like

:D:D:D:D:D:D:D:Duncle umeanza fombe mapema sana

1 Like

Kama wewe chief mmama hujaacha na ninakufuata, mbona niwache??

3 Likes

[ATTACH=full]142468[/ATTACH]

3 Likes

Ni kubwa baba labda iitwe kuwaru

2 Likes

kama hajawacha leo Guarana zake on your bill pamoja na mshikaki

2 Likes

Shoga kujia guarana, meffi

1 Like

Mimi nkikula chakula kama hiyo for supper, nitapata nightmares, so ntaamka usiku nipike sembe ndo nisipate nightmares

1 Like

Na unalipa ndio order ifike kwa meza :):):slight_smile: