Kamiti corner

Hawa watu tamalisa sisi wazazi

Hi Dad,nitumie Kshs 1375 kwa hii No ya mwalimu kuna kitabu nataka aninunulie pliz. Thanks dad

pea mtoto pesa na uwache kusumbua

Mwalimu anakamua mitoto yakho, kimbia shule…

ambia maribe atulie ,hata hajamaliza wiki huko

Ndio huyu mwalimu