Mbona alipush yeye kwa stairs? Kwani mabibi za wenyewe humfurahisha aje? Kwani nyinyi hamnaga option ingine? Ama mmerogwa na kamuti?
wetin de story nana?
Whom are you talking about?
Nasikia alimumunya Bibi ya Motama
Kalonzo aliongea kama mtoto hajatahiri, naye Muthama amechukua hio opportunity kumpaka meffi… :D:D