If u know u know
[ATTACH=full]204142[/ATTACH]
Niaje my small friend
we are and have never bn friends and am not small…ghasia
Unajua Nani unaongelesha hivyo kamtu kafupi
midget unasumbua
Fools… Ondoeni upuss hapa. Endeni mkachunishane sukuma
it just means that haukuwa na mbio ama too broke to bribe
We’re kwanza ni mfupi so inakaa unakuwanga bottom.
@Blaze2 bado hukukamua
Utapatikana tuu
Vipi Wamathuraku wacha uchokozi
Niaje omwami
Kibet wacha matusi…wewe ni kapanya kadogo wacha kelele
Naweza kuambia ushike ukuta alaf nikuchunishe sukuma with the niceness ndio uniheshimu senji
Kamidget tulia shaitan
Nimeshawahi shikwa nikarushwa pale Buru na maflying squad back in the day when walikuwa ngori. Kufikishwa station tukakuwa booked alafu mmoja moja tuna anzishwa hiyo routine, toa kiatu na belt na kama uko na pesa andikisha.
Mimi na ujinga zangu nikasunda pesa kwa wallet nikauliza pamba 'na hii nipeane wapi '.Nugu ikapanua mfuko yake ikaniambia ‘weka hapa’ alafu ikanisukuma kuningiza side ya cells.
Nikarudi hapo OB nikaitia wallet ndani ya kiatu yangu.
And that’s how I lost my wallet, ID and other documents.
Since then the only wallet I carry is a small one for cards, I no longer keep money in it.
mimi sijawahi.
Gaayyyyy
Aviator wasumbua
This takes me back to siku nmeshimkwa na @pamba pale Thika nkitoka stage. Nkatoa kiatu apo kanyumba kako next na OB weeh mama fulani karao akawika " nini iyo inanuka ifyo"… Nliachiliwa nkaenda nyumbani