Juzi niligilundua mb 200 za voda ni nyingi sama

Jamani hakuna kitu kinatesa kama uraibu. Baada ya JF kufunga majukwaa mb zangu 200 za voda ambazo tnalalamika kwamba wanatuibia gharama kubwa zikawa nyingi ghafla.
Yaani unaperuzi kila sehemu unaona chenga tu unarudi tena kufungua jf labda wamefungua unakuta mtangazo wa maxence nimehaha jaman foruma za nigeria mpaka Ghana mpaka Congo.
Hapa pamenipunguzia stress 50%

tupambane tu ivyo ivyo

Hahah!!

Balaaaaaa

mi ndo nafika hapa mida hii, nahisi kupungua uzito kiasi kwa siku hizi kadhaa

Yaani unahisi kuna kitu kimepungua

Nilimiss sana haya mawazo ya wadau, thanks Kenya talk

Mimi ilibidi nikafungulunyue akaunt yangu ya fb baada ya kuona Mb zinaexpire tu.

Haahhahaahha

Uraibu mbaya Sana kwakweli, nilienda my broadband kule kwa madiba sijapata ile ladha naitafuta ,ila hapa kidogo alosto imepungua

Pole sana… mazoea yana tabu…

Cc: @Mahondaw

Yeeees miguna wa miguna…tell me my friend…how was Europe?

Hahahahaaaa! Mara paap, na huku wamefunga!..

Chenga kila upande.

Mashikolo mageni

Sio siri nimeteseka sana hadi kufika hapa kijijini