ndio mzee baba
Kuomba mbunye kwa Me ndio udume na Ke wa ukweli haogopi kuombwa
Due! Sikulijua ilo
@The Tweet
Kakuuliza Evelyn wee waogopa kuombwa mbunye?
Shikamoo kaka
Marahabaa Shunie, vipi maisha ya ukimbizini ushayazoea? Wewe si hauogopi kuombwa lakini eeh?
Siogopi kuombwa kwa mbebez wangu tu maisha ya ukimbizi tumeshayazoea
Hayo ndio maneno sasa Shunie, lazima awepo mmoja amabaye haogopwi na hupewa kadri atakavyo…haya endelea kujivinjari katika mitaa ya kwa Kaka Uhuru Kenyata maana huku kutanoga zaidi kuliko home
Ewaaaa umemaliza hii sio mali ya umma
Aisee…ambiele hana pakupost video zake tena
Aisee
Ikiwa mali ya uma inakua siopoa kabisa, yaani haitaki ubia wala hisa
Jukwaa la wakubwa lipo wapi
Hahhaha ndiwoooo
Pamoja sana mamii
Hii ndo kakuma refugee camp
Hahahaaa, umenichekesha sana mkuu
Maninaaaaa hii arosto haijaniacha salama
Pole sana Demiss, karibu sober house