[ATTACH=full]171534[/ATTACH]
tuliona…lakini one can twist a piece of information to suit a narrative…notice how conveniently the second pic is cropped so you cannot appreciate the thickness of the slab…
I think ilikuwa ile wakati munyao alipandisha bendera.
enzi za madiaba…
elchapo akichora plan…
Wakijenga leaning tower of pizza with the same tools unaona hapo
hii ni gani rafiki?
:D:D:D io ni yet to come
Bana…
Kenyatta akiitwa Kamau wa Ngeng’i
[ATTACH=full]171536[/ATTACH]
Could be the newest world wonder
Kabla @gashwin akue village idler.
Madiaba ilikuwa ni…
A.Soda,
B.Wimbo,
C.Matash,
D.Mwanamke mzito?
This is hate speech, fake news, incitement, and bigotry
It attracts life sentence
Fake news. That is not a Kenha road.
all of the above
The placement of that steel mesh is wrong, it should be on the upper third of the thickness. Then depending on the traffic that road handles, I think that steel mesh is not near enough @madova kuja peana advice
there’s supposed to have been an engineer supervising to ensure they do it right. sasa utakuta hiyo concrete ilimwagwa vibaya na engineer bado ata-certify juu anataka mkandarasi alipwe ampe cut yake au ameshakula mbele:D.
That, or hii project haina engineer to begin with