Waah. Sad. Isn’t she working for BBC? Hawawezi kumlipia medical bill ama how is their medical cover?
She has a biuriful face.
Cover iko na limit ata za serikali, ikiisha kabla ya financial year unajipanga
I remember her when she was at Citizen TV in early 2000s.
She was HOT as ferk.
One time tulipatana kwa pub Fulani huko Zimmer.
Nilijaribu kunyemelea lakini alikuwa kwa group ya ma boys wa job wanakunywa mizinga.
Halafu alikuwa anashikashikwa na kupewa hot kisses na kimjamaa Kimrasta…
Nikaona hapo nitachapwa bure..nikaumwa kiasi halafu Nika move on to other younglings.
Unless she relocated back to Kenya, last she was operating in BBC London. So she would be covered by NHS. More info is needed here.
Unakuanga mwoga chini ya maji. Ungeamua katembee.
true . bbc london., nhc fully covered, could be micheso ya town
Niliona hii nikashangaa, hii inafaa kuwa sorted na employer
He is another General Kiugoya like @Wakameat
Bure kabisa watu wanashikwa shati and squeal like Kagwira Mwangaza toyboy.
used to meet her and the nominated muranga women rep at boulevard hotel. too much smoking and alcohol. karibu nichapwe na politician fulani alikuwa ananyemelea
Anchoma fegi mingi kuliko Uhuru
This was one of my first teenage crushes
Unlike CNN and those other shit US stations the BBC can afford £30,000 to treat one of their employees. Fake chieth.
Huyo kawad alifanya nichome fare hapo langata cemetery. @Wakameat bado Niko na your burial permit.
Say ulinyemelea ukachapwa by the rasta dude.
Your employer in the Western world will never pay shit for you especially when it is available for free apo UK.
Nakumbuka working for companies, and my healthcare was covered at 70%. That 30% was out of pocket. One time I had surgery total cost 80,000 my out of pocket was 20k. Kuuliza employer, HR walinitumia brochure Za charity organizations Ati niwaulize. And all I wanted was a loan from pension plan.
Heh, you must have been at a peasant company.
I was on jubilee insurance before it became a joke and they covered everything besides dental work and optical care.
Glad to know even in these ‘first world’ countries trash systems exist.
I worked for some of the best companies. Best provide 80% coverage. However that 20% is actually less ( there’s a way to calculate). And you have to pay premiums per month. Akuna kitu free.
Uk/Germany/Canada great healthcare, But wanakanyagwa tax. For example Canada is oil rich and few citizens. Instead of affording their citizens opulent lifestyles like mongers in Dubai, they subsidize their healthcare systems. @Jack_Black
so you are naturally a weakling. Unakubali aje kupigwa kwa nini,kwani hauna ngumi zako