Joint Kenyan and Fillipino Citizen arrest in the Gulf

that was like chewing gum to me.

:D:Dtuliwaachia ma CID wa deal nao lakini mmoja aliponyoka but hawezi enda mahali. hawana papers. hao ni deportation after 3 months in jail. labda ahepe na meli. na meli pia unaweza toswa baharini kama hauna pesa:D:D:D:D

:D:D:D:Dā€¦Mafeelings wachia sosion na kaimenyi

1 Like

sasa si mu act movie ya joint kenyan-fillipino arrest in the camel sheds

1 Like

sasa mnatakaje. nisipoweka mbisha mnateta mnataka vindio sai ni movie unaitisha pthooo. hata movie nikiweka mtataka season 2 kwerrraa

2 Likes

Hehe ā€¦ huyo filipino alikuwachia ya macho kweli? From now on utakuwa kama don in their eyes bana.

1 Like

I challenge you for a duel

teren teren sword fight around Valentines

aliwacha ya macho:D:D:D. hiyo hata sikuitisha. akabuy dishi na mzinga ka tatu. hata sai siwezi fanya job hangi ndiambo. yeye ametokea technical appearance amerudi kulala

1 Like

Leta handle ya telegram lab utupe findeo .

hero now ama ?

1 Like

uko poa Champ if Ningepita mbele ya amateur ningeitisha a boxing friendly Palpal.

1 Like

@Lab we umekuwa csi uko ? Unakumbuka ben wa shrink? Bado hajawacha umama!

sa

sasa weweeee nini inakuwashaa si ukae maisha yako forefore. bado we mchanga

mara ngapi ango semeji nimesema uniweke telegram unalenga me ni mzee hata sijui telegram ni nini hebu kuja kwa sanduku

1 Like