Joho Vs DP Ruto , Duale, Yusuf Haji, Jubilee Dvpmt et al...Round 3 ( a faffan tube exclusive)

Ok for the record the Joho was not there but the msg was loud and clear

https://www.youtube.com/watch?v=9A2mC4DQ2DQ

Yusuf Haji “kwendeni huko nyinyi vijana tokeni hapa hamna adabu”

2 Likes

Ile makosa kubwa Ruto did ni kusema “Bwana Yesu asifiwe” …angejua audience first

Being a politician hapa kenya you need a tough skin…u brave the hot sun and high temperatures, na risk AL shabab kupelekea watu mchango na maendeleo lakini unahaibishwa mbaya

Amerisk Al Shabab wapi hapo. Umeanza kuongea mbaya sasa

1 Like

Haukumbuki Garissa uni massacre wewe…mnasahau haraka sana

Trust me, Garissa iko safer than Nairobi even when considering terrorist attacks

Chances of a nywele ngumu VIP being shababd in Garissa is much higher than in Nairobi

[ATTACH=full]73769[/ATTACH]

Hizo vitu ni chocha za media.

Kuna churches Garissa, kuna crusades oftenly

Senator Yusuf Haji Exclusive…with a soundtrack to boot

https://www.youtube.com/watch?v=eMWccqD6ca8

@spear alisahua kutuonyeshe hizi when he was posting hapa picha za maendeleo

6 Likes

Heeeh tuletee a cheki maneno exclusive from huko one of this days basi

  1. Siko Garissa but I will take photos when I go there
  2. Cheki maneno ni utoto

hehehehe, N.E kameumania jubilee

1 Like

Mmh looks like people don’t eat tarmac ([SIZE=2]JUBILEE DEV©) [/SIZE]in Garrissa.

3 Likes

NE votes zikiwa kidogo, Duale’s bargaining power inaeza kuenda chini. Already some RV senators and MP’s have shown their dislike towards him.

2 Likes

This makes me very happy. Uncle Machozi the killer of JACOB Juma is a not a freind of Kenya

Last time NE was Baba’s until dim-eyed walked around wariahs property claiming that baba akiingia lazma tulale kwa hizi hotel za foreigners. Na tufukuze hawa refugees tuchukue manyumba na biashara. It will happen sooner or later, wacha ombitho akuje awapatie confidence.

I am talking about Duale, chances are that he might not be re-elected, hiyo ingine siwezi kusema.

1 Like

Hako kamama siku hizi kametulia sana. I bet she’s busy cooking some figures that will be released soon.

1 Like

Joho hata kama ni chemist 2022 tunampea kura

1 Like