Ninachokifikiria hapa ni kudukuliwa na hatimaye kutiwa nguvuni japo ni vigumu
Watu ndio wanachokihofia ndio hicho
Ninachokifikiria hapa ni kudukuliwa na hatimaye kutiwa nguvuni japo ni vigumu
Watu ndio wanachokihofia ndio hicho
mkuu mambo vipi naona uko ughaibuni
Hivi mshana jr kafanikiwa kuvuka Huku ngambo na chombo chake Kweli
Binafsi nimeongeza neno tz mbele ya jina langu na password sijaitumia ile ya jf,wasiwasi ndio akili
Nalog off
Nipo huku kwa miezi 3 sasa mkuu
Karibu sana mkuu
Salamu zimuendee malaika jiwe hakika utawala wake umefitinika.
nimetumia Facebook.kuijunga,lakini.ngoja kutumia browser nyingine,
mambo yakienda sawia nitabadili.
What is your request sir?
Your privacy is guaranteed guys, maybe much more than JFs, do your thing.
Ngoja mliwe vichwa.
Ukimbizini raha kweli. Catch new names like Mundu Mulosi, nadhani Mulosi mlengo wa Omundu khumundu. Mungu ibariki EA.
900 Itapendeza.
Mkuu huyo mundu mulosi ni mod sema yeye sio mwepesi wa kupiga ban
Are we allowed to change our user ID by any chance?
You have to send A request to one of the Admins, we have to agree as a team. Generally we don’t encourage change of handle coz sometimes it becomes too much.
Copy
Easy like Sunday morning Kenyatalk. Mubarikiwe majirani.
Mpaka kufika July kijiji chote cha jamii forum kitakuwa kimefika umu.
Wengine wamekuja na ndege,meli,mabasi, treni, pikipiki, baiskeli na wengine Miguuu
Nami ndo nahofia hilo,nkaamua kuja na ID nyingine
Sawa, mfanye namna tuwatambue maana mnatuchanganya unapokuja na kutusemesha kama tulivyozoeana kule JF ilihali bado hatujawatambua
Haina taabu tutarudisha Id zetu