Jioni Sacco

Tuko Java ya paipu tunatoa baridi na kisokorowinyo. Kama uko karibu, pitia ukunywe chai choma na mandazi surwa.

[ATTACH=full]106926[/ATTACH]

Mwisii wa mangotha @culture usikuje

[ATTACH=full]106927[/ATTACH]

23 Likes

Hapo Njava ni poa.
Salimia @Kihii Kiaganu.

5 Likes

Marry that girl @vuja de . She is umble

9 Likes

hahahaha.nko hapa doni nateremka na xtrail yangu but hii jam jo.acha nipitie hapo walai

1 Like

KUIMBA nguo muhimu

vile @Guru amekwambia .kama huyo mdem anatumia kikombe kama hio na chapo.madze usiachilie

1 Like

Naona uyo dem anadrain. Alikuwa across?

2 Likes

Hehe. Admission no. yako ni 65XX?

Ngoja tu @culture mangotha afike hapo na hio xtrail yake. Utabaki unajiongelesha

5 Likes

i

ts gud to share.nachukua zangu tu nikiondokea

1 Like

Sasa umefanya kanjaa kamekam through. Naona nikipitia kibandaski pale Villa Rosa Kibandaski nijishikilie tumbo kabla kaukali kadogo ya home.

2 Likes

Stupid drinking mate ame tag wanawake kwa meza yetu na tumewekesha ka nguruwe,share yangu na beba ajipange na bill,mbweha sitambui.

3 Likes

afande wacha ungamwe na ni za macho unakula

3 Likes

Kasee acha umenilipia chai na rolex.Napitia saa tatu.

Nameza mdogo mdogo, hawa vijana ya 2016, wanatengeza jina na kuninulia pombe.

Hiyo rolex nimefungiwa ya supper/breakfast.

Kuja na lorry ya Swaminarayan unipe lift. Mvua imeleta matope mob leo

1 Like

@culture u need to come clean bro, i respect u lkn hii tabia yako ya kumalaysia mangotha imekua too much.This is too much

1 Like

:DAfisa pia hongo huuma hivi…??

3 Likes

Plot twist: Niliiba mbicha Twitter

[MEDIA=twitter]877394558274940928[/MEDIA]

2 Likes

Hehe @nyapdragon@culture mangotha ameleta compe ya udingo sio

1 Like