Oya, wazing, nipelekeni na rada zabe fiti ya kuosha rungu Meru.
Jincheng ni motorbike ya kimefi, I bought one for offload, tyre ya nyuma inakaa kama inataka kuovertake ya mbele
Uko na pesa nikuuzie Sanya Ranger well maintained. Still new.
Sanya ranger ndio nini tena
200cc ama gani
Year, I
Yeah jc 250 gy, walinidanganya its 250cc but the shitty thing is underpowered, nashuku ni 180cc, stupid conmen
there was a time i was planning to get it nikaona mtu anasema it feels 150cc. Ati the max it can hit ni 110kph. na vile uyo dem ako convincing sana
stay away from them fullstop.
you do realize kuna bonobo bado inangojea kupewa directions mahali itapata kunguru don’t you?
sasa ujinga yenyu ni ku buy nduthi ya 2000cc na impreza ni 1500 cc matusi na madharau mpaka ionekane
Watu wa Ferrari tukae wapi?
Sasa billionaires wa ktalk wanaongea mambo ya duthi mitumba za China?