Mello amefanya kazi kubwa kuilinda na kuitetea JF, Sisi tuko mafichoni sio kwa huba bali kwa hali halisi ya iliyotengenezwa na bwana Jiwe, hivyo nipende kumtia moyo Bwana Mello asikate tamaa, Aelewe kwambwa tuko nyuma yake na matumaini ya wengi ni kua tutarejea katika kiota cheti siku si nyingi, Tunajua anapitia katika kipindi kigumu kuona kitu alicho kipigania kikiuliwa kwa makusudi na wadhalimu, Popote ulipo Boss sisi tuko nyuma yako ukisema nyuma geuka tutawashukuru Wakenya na kurejea bustanini kwetu JF. Amina
“Mchuma Janga hula na wa kwao!” Hili tutakula ote Big Boss!
pamoja sana
Hahaha Eti ngombe za kenyatta
Mungiki ya Kakamega wakiina hisi maneno mbofumbofu, lasima ukule ban
Inapendeza…
Cc: @Mahondaw
Mkuu uchangiaji wako wa mada bana ni exceptional…
Uturuki social media zinazoikosoa serikali nyingi zimefunguliwa na wakimbizi wa kisiasa walio nje ya nchi hasa Ulaya na Marekani.
Madudu yote ya serikali yanaanikwa na mawaziri inabidi wawajibike.
Hiyo ni salamu yao mkuu wala usitie shaka watakuita ng.mbe, wadada wao ni makunguru tena wanafurahi sana
Hizi maneno kwenye viunga vya nairobi hazina moto, kule kwetu ndio zinaukakasi na Mod wanakua wamesha kuzika
Mello ameonesha ukarimu wa kiutanzania, ni mkarimu, mwerevu na mwenye busara hasa.
.
.
Alaaniwe jiwe na uzao wake wote, shenzi kabisa jiwe.