Jf mnazingua nishawapuuza kwendeni huko

hawa jamaa wamesema wanarudi halafu wanafungia maudhui ya zamani

hivi wana akili kweli???

Jf msituchezee ss sio watoto wadogo

Tuwe na subira…muda ni mwalimu mzuri…

Bangi mbaya.

https://www.jamiiforums.com/threads/jamiiforums-tumerejea-baada-ya-kutoweka-hewani-kwa-wiki-3.1452491/

ila nchi nyengine wanaitumia kama ni dawa

Hahahaha home pamenoga

ila hii nyumba yangu sitaiuza hata kwa dau la million 100.
si unajua kule nyumbani nimejenga kwenye vyanzo vya maji hivyo basi muda wowote vunja vunja ataipitia nyumba yangu.

mbona yapo mkuu

duuh

Noma sana

Hata jukwaa la siasa nahisi kuna mods wana fatilia mno thread kibao zimetolewa

Hata msilaumu uongozi wa JF, tatizo kubwa ni huyo magufool.

Uongozi wa JF lazima ufuate masharti (hata kama yanakandamiza) ndo waweze kujikimu tu

Duuh

Bado inazingua mkuu