[SIZE=5]I[FONT=book antiqua]lishakuwa kawaida kwa watanzania wengi (hasa wanaojifanya wapo makini sana) kuona kuwa kufuatilia mambo ya siasa ni kupoteza mda,
Na wengine wengi kuona siasa ni kwaajili ya watu fulani wasio na shughuli ya kufanya!
Kundi hili la watu wamekuwa hawajihusishi kushiriki kwenye uchaguzi na hata wanapotoa mawazo wengi wamekuwa ni watu wa kuona tu kuwa “kila kitu kipo poa”
Hoja mbadala zilikuwa zikionekana kama za watu wanaotia chumvi mambo!
sababu watu makini wameignore siasa ndio maana tunashuhudia bungeni tunaamuliwa mustakabali wa maisha yetu na watu wenye akili ndogo kama msukuma,lusinde,jenista mhagama,nkamia,mlinga na maccm wengi wa aina hiyo
Hivi huyu Jenister amechaguliwa na wananchi au ni v/Maalum. Maana yeye sauti yake naisikia akiomba mwongozo na kanuni. Najiuliza hapo Mbungeni kaenda kusimamia kanuni au vipi? Au ndio anataka uspika? Halafu ukiongea sauti yake haina hata ladha ya kusikiliza.
Vijana wa huko ruvuma waamke. Duuu hii ni aibu kabisa. Yeye ni kukwaza mwenzie tu. Wakati wanaongea mambo ya Kweli.
Hawa watu wa kusini sijui wananini masikini, ukimwangalie waziri MKUU si katoka huko huko amefanya mpaka mwenzake kalia Kwa ajili ya hela za korosho. Wangekuwa ni ndugu zangu Wachaga ngumi zingetembea Kwa Kweli.