Jamiiforums hovyo kabisa kwa sasa

Jamiiforums siyo tena sehemu ya Kuonge kwa Uwazi na Uhuru. Dhana ya “Where we Dare to Talk Openly” haipo

Mkuu nini kimekukumba kule?.maana zama hizi ni vitisho mwisho mwisho

dead men tell no tales

Embu dadavua kuna nn kimekukumba

Yapo ya siri wanayoyatekeleza baada ya kurudi hewani na hatuwezi kuelezwa

Kule sina hata wazo la kurudi huko, hata app nilifuta kabisaaa

Tuko pamoja lkn tunakosa vingi sometimes ingawa kweli sasa hivi ni hovyoest ever

Mmmhh
Jirani urudi bana tunapata hata habari za MMU tu.

Mimi ninapotumi hizi App za KT na JF nakuwa kotekote. Kila nikipata notification upande fulani naenda kuiangalia na kuona kilichojiri

Nami ninazo zote mili ziko on full time

Pamoja sana mkuu

Najua siwezi kosa mengi kama jf ya hapo kabla! Serikali ikishakubana huna ujanja! Acha nibaki huku tuu

Jf nilikuwa nasoma majukwaa karibu yoote siasani ndo nilikuwa nasoma saaana! MMU pekee haitoshi wacha nibaki huku tuu labda miaka ijayo ila kwa sasa sina hata hamu na jf kabisaaa

Sawa jirani

ni kusoma tu sasa…

Mimi huwa nakwenda kule kuchungulia kisha natoka na kuja huku…

Mie Nachungulia sana kule ila watu wako na hofu kujilipua kama zamani

Mambo yameharibika tayari kule.

naona kama hivyo

Sasa ivi. Hali imekuwa ya kanyaga twende tuuu

Serikali inaitolea sana macho…

Ndiyo platform tishio…

Cc: @Mahondaw