Jamaa anajipanga kuleta malaika wake na huku pia
Aiseeee siamini kabisa kama naitwa mkimbizi
Tutaenda Forum ya Zimbabwe au Uganda.
Hatuzuiliki mkuu.
Ha
Hata Syria tutaenda tu
wakimbizi ktk nchi yetu
Hahahahahaahahah
Ndiyo sisi hao hao
mara ya kwanzi nilijaribu kulogin kwa kutumia account ya JF, nliposhindwa nikajua hii sio JF pure
Tafsiri yoyote iko poa, la maana ni kwamba sisi tushafika hapa, asanteni kutupokea na mizigo yetu
Msisahau kutuhamishia na lile jukwaa letu pendwa na “wakubwa”
hahahaah, wakilileta huku uni “tagi” tehe tehe tehe
usijali, naamini watasikiliza kilio chetu