Jamii Forums inajifunza nini kutoka katika mitandao iliyofanikiwa kama Facebook, Twitter, Instagram, Airbnb, n.k

Jf irejeshwe tu kama zamani

Hiyo mitandao mikubwa imefanikiwa pia kutokana na kutokua na sheria kandamizi kweny mother nation zao

Niko

Niko kiambuu hahaha

Haa haa msogee na hapa KCA survey Chomazone thikaroad

Mmmh mambo magumu

Kama Yuda alijua anataka kumsaliti Yesu ni kwa nini alimfuata na kwenda kumbusu!! Wasaliti rangi zenu tunazijua!!

Hawana uwezo huo.na hata wakijaribu watashindwa tuu.maana wataongonzwa na kaulimbiu ya kuunga mkono juhudi za jiwe

Huku umekuja kufanya nini? kaanzishe forum yenu inayo jadili mnavyo vitaka kwa namna mnayo taka, otherwise ni upuuzi mtupu.

Hahahah kumbe wapumbavu wamekuja na upumbavu wao huku

Nawe ushakuwa “sinia” villager tayari? Amakweli yajayo yanafurahisha

me elder kabsa babu

Dah… we kiboko. Umemzidi umri hadi babu?

Hahahah

yeaah we bado kachanga humu

Wewe ni K…unatumia tuu jina la M4C ili uaminiwe…ila kila siku una saini buku saba…nyambafu…kawadanganye Kule JF tz siyo hapa jfktalk…hapa tuko amplified… tuko juuu…tuko aware…

Ahahahha babu habar za masiku tele

Niko poa. Naona ushakuwa mwenyeji vijijini mwa watu…

Ahaha ndio babu

K ni K tu hata wewe ndo ulipotokea na unahangaika kurudi kila siku! Jibu hoja sio kujifanya mjuaji, wakati hujui lolote

Mpe hi zake nyingi sana sana mzee wa adjust