Nitabaki kua msomaji tu na majukwaa machache nitapitia.
huku tu kuna dalili 100% za kuwindana.
Jamani mimi sipendi siasa.
Napenda kunywa tu…chonde chonde
Teflon Don Alex Masawe.
Imerudi hewani partially tu mkuu…hakuna permission ya kuanzisha,wana kuchangia uzi
Shaka ondoa
Bora hata hivyo tuendelee kupata Nondo za Mule.
Namie “NIDIPU.”
Hii inatosha kwa sasa. Nilikosa mahali pa kutolea stress. Funny jf bunch.
[ATTACH=full]179653[/ATTACH]
Jf kudooo
Haswaa
Jamani namba yako sina
Mpaka raha
Don Vito Corleone
sijaelewa nia yao ujue tehtehteh
Aisee