[ATTACH=full]180845[/ATTACH]
Baada ya kujaribu kuingia leo ili kupitia baadhi ya madini ya humo ndani huo ndio ujumbe niliopewa.!
Kudadeki
Lakini kwa mashart yapi?
Mkuu bado hawajayaanisha, ngoja tuwe wapole Kwanza.
Kwa sharti la kumtukuza rais jiwe tu
Huku patabaki kuwa chimbo la matusi
Kurejea sio inshu je kwa masharti gani???hapo ndio watu tunasubiria,
Wangeweka na tarehe kabisa kuwa,leo tarehe 1/7/2018
Kweli kabisa maana hata ikifikia kesho ni vilevile.
If they are coming back with conditions nawapa pole, we have found a sanctuary in Nairobi.
Hivi mwigulu kapangiwa wizara gani?,au ndo katumbuliwa?
jf wapuuzi tu wale sasa wametuzimia maudui ya zamani kwann???
Stop ya kwanza terms and rules…
Iko hewani saizi full
Tayari imerejea kama kawaida
Tuwe wapole…
Cc: @Mahondaw
Imetusaidia sana kuondoa stress
Na melo kaulizwa sana juu ya swali hilo.japo yeye anaonekana kusema kua kila kitu kiko sawa.na huku akisema wametimiza masharti ya tcra.
Akili kumkichwa ukizubaa utaliwa.zakuambiwa…?.in jk voice
Nyie tangulie ntawakutaaaaa