1 Like
Finding new ways to kughula
kwani kazi ya infrastructure bond huwa nini? serikali itumie io, kama pension fund yyote watakuwa interested, watanunua bonds kwa hiari yao wenyewe.
1 Like
We should say no to this. Pensioners as we speak were not getting paid their dues the last time I checked
Hii mutu yenu ameshindwa na kasi kabisa. Bure kabisa. Workers will retire wapate alighula pesa yao yote.
3 Likes
Hapo kwa nssf ndio walikuwa wanakosania na Atwoli
1 Like
Hii kenya imeoza. Watu wapige hawa watu. Alafu hii pesa yote wanaiba wafanye nini nayo ama kuna watu wananunua “miaka” na hatujui. Must be very expensive. Suppose wanashika miaka kwa bei nafuu mbona wanakaa wazee…na jambas anakaa nka anasonga soon…
mbandi ni nini mungich?