hii ni allergy ya matitis ama ni nini
Ariel pia iko poa, kwa muosho mmoja tu.
wanaume na sabuni…
:D:D:D:D:D:D
@Zee yaa nkieke? Anuke muna esufuria?
![]()
upuss…scented soaps give me rashes…so bar soap all the time…
Peasant tingz…
sio zote but kuna zingine jo…especially the white ones menengai ndio hua natumia
muthuti
Kwani mapua yako ni kubwa aje my friend?
Kitu huingia kwa mapua ni handkerchief kutoa makamasi. Kusugua pua na sabuni ni overkill maze. Ama pua ni kama ya Eugene Wamalwa inamaliza oxygen kwa bafu inaanza kubreath sabuni?
Hii p30 ni sabuni imetengenezwa na mafuta ya marinated tortoise ama?
![]()
:D:D:D:D:D
Anamaanisha ile ya kuingia kimakosa, kama vile saa zingine huingia machoni pia.
Mblo, tactis za kuvuruta makamasi, real or imagined, sabuni ikiwa usoni mi apan tambua
Kitu ababu namwamba anaadvertise. You can easily get deffection like @uwesmake
…Aha, that is how @mukuna started.
:D:D:D:D
Sabuni ni ushindi ya green
he he…hung’arisha uchafu wa miezi sita…:D:D:D:D:D
:D:D:D Na inaacha ka fragrance kanakaa miezi ingine tatu