JAGUAR amemulikwa na hesy

Hii jambazi ni makanga ya dandora.He shot his accomplish huko fedha estate na akahepa.They were fighting coz ya kunguru,we are not interested na sababu zao za kufight, all we want is he surrenders the gun.Bila hiyo hana amani tena.
[ATTACH=full]204749[/ATTACH][ATTACH=full]204748[/ATTACH]

Ngori image hapo.Weka spoiler.

This pic confirms it!..kigonyi ni mwizi!

mbona jamaa alichapwa risasi ya kichwa na hakukufa ?

The dude was literally made an ogre ako na macho tatu

Hakuna ngori hapo

At least bad guys are taking out each other. Makes work easier for the cops.

Nimeona bullet kama imekwama kwa skull,nikasikia ngozi yangu ya kichwa ime twitch

Kitaeleweka very soon kwanza yule cop aliwawa huko kayole gun ikaenda iko mikora watalipia .

Accomplish ni muhimu…
I.o.N
[ATTACH=full]204752[/ATTACH]

Nimefanya nini bwana mkubwa

Mngetaka hawa wezi,wakora waishe kabisa mnaweza.Lakini mna partner nao in crime halafu mkiona wako karibu kumarwa mnawamaliza,saa zingine nyinyi ndio mnamalizwa then mnatumia brute force on them in the name of saving your asses

Wacha nikuambie hakuna cop huchukiwa na wenzake ikijulikana yeye hufanya robberies na ukipatikana ni vigumu ufike kotini ,six foot chini .

nini ilichoma girlfriend tanye?

Hio ngori ikam inbosk msienz amedelete:D

Labda kaswende

:smiley:

Ikowapi hio picha

Imengólewa na mod.

:D:D All of a sudden mods are very active. Isorite