It's like Jana kulikuwa na Royal wedding na hakuna mkenya alijua.

Dennis Itumbi Twitter account has some info.

Who made the Kenyatta family royalty in Kenya if you go to their base in gatundu ndio utajua poverty ni nini…wakenya na kuwa pre occupied na neo colonialists…tf

Unakuaga mchokozi aiseh:D:D:D

Tell them the truth. Those areas the men are preoccupied with traditional brews hata hawazalishi.

So mobilize vitombi guys to head there and include an STI testing center…coz mimba lazima zi peanwe

post link

Hio mtaa ya akina Uhunye ukienda function yoyote mnaambiwa mtoke kabla giza.Tuliingia local flani inaitwa Ngenda kukunywa moja moja tukitoka funeral flani kiganjo.Wasee walikua wanaingia local wamevaa ma kofia kama zile za ma konkodi wa githurai na ma mboshori wanakaa kwa corner hata huoni face zao.Unaona tu moshi inatoka kwa corner.Mwenye local aliita mmoja wetu nje akatushow si kuzuri tukaishia.

Who were the guys?

The local kanudhu youths who know how to smell foreigners.Giza ikiingia kidogo wanatokelezea na knives na panga mnakuwa robbed kila kitu.Wamejaa everywhere hio route from Kiamwangi to Ngenda all the way to Kiganjo.Hata kupata puncture ni stress.Ukipata puncture wanatokea vijana kama 10 wanakusaidia by force unaambiwa bill yakusaidiwa ni 5k ama uwache ile pesa uko nayo plus phone ama upigwe.

Ngina Onyatto anakaa kusumbua betachieth vibaya sanaa, na ukimpiga sweep unajipata black site :D:D:D

Kiambu is a gone case. Na vile they are the most populous county after Nairobi and Mombasa

When I had time in my hands nilikuwa nafika mpaka kiambu kukula some young things…nilikula kadhaa

nirushie kamoja niko na dry spell

Mostly idle youths who belong to that outlawed Maina Njenga sect. Hizo kofia zinakaa funny huwa their trade mark.

In other news, a village sponsor gets a younger second wife…

Cc @General kahiu Itina @uwesmake

[MEDIA=twitter]1559155894805463041[/MEDIA]