its friday again....

leo ndio ile siku…Reggae+nyama choma+miti+mzinga +lanye=starehe…
i put aside 5k kila friday za kujinice na kutoa vumbi ya wiki …yes only 5 k na sio zaidi ya hapo.so leo naskia kubuy kakitu to the peasants.tupatane tribeka 8pm.{lakini usikuje na lanye imeiva kuliko yangu nitakunyanganya kakishika}i will add 10k on my budget nifurahishe peasants kadhaa.
blessed is the hand that giveth than the one that taketh.sharing is caring.

2 Likes

And blessed is the right hand that giveth and does not allow left hand to know it has given…

8 Likes

Naona hiyo Matatu business ikianguka ukiendelea hivi.
Mimi ni Mzee siweszi kunywa Tribeka, rusha kitu kwa Mpesa nikunywe Gilbeys.

3 Likes

wah…mummie hio ni kali

1 Like

mdosi tulia ifike ile masaa nione bl ya mpesa.lakini pesa ya matatu singuzi kamwe.niombeeni inawiri madze.so far so good

Niko na number ya Bar Man wangu unatuma nitaipata jioni.

1 Like

Nina kiu bro, nije???, bora usianze kunusa kibeberu uniabishe hata ukiwa the hand that giveth

2 Likes

@culture Mimi kama peasant siwes fika bei ya tribeka rusha kakitu nimese jug Daniels na naps

2 Likes

hahaha.iwe

acha nione bl ya mpesa nitagawa watu wangapi

1 Like

Bro io 5k itatosha kweli tribeca? Ama wewe ni mtu wa brown bottles? Hapa kama ni whiskey itabidi umetop up

1 Like

brown bottles msee.