Huyo wa kiatu alikuwa anablock watu wa nyuma wasione vizuri. Then mtu wa nyuma akaamua kugonga hio kiatu na mawe. Mawe ikapita na kiatu hadi kwa kichwa ya president direct almost assasinating him
4 Likes
I agree with your argument
1 Like
Sijaona mawe ni mkono imegonga hiyo kiatu kama volleyball
5 Likes
Actually it is not a stone. It is a hand. I agree
2 Likes
Lakini bado watu watafinywa
1 Like
Ata museme nini… Umbwa ilikula kiatu
1 Like
The path we are taking is more dangerous , God help us as a country . Afadhali muache hawa watu wakule na waende in peace kuliko plunging the country into chaos kama zenye ziko Sudan and other shit holes
2 Likes
Kasongo must go by all means
