@Introvert tulikukosea wapi utuaibishe hivi???????

Jamaneni Engineer Ochi tulikukosea wapi? Sasa mbona unatuletea aibu za 2bob? si ungepatia @Colombo-Combolo kazi ya kudesign poster halafu utuite harambee ya campaign hatungekuhepa vile @Adeudeu alihepa mtu wao. Koro magi to ango?(sasa hizi ni nini)

[ATTACH=full]93706[/ATTACH]

Hehehehe, he was able kupata picha ya babu lakini yake ni sketch

:D:D:D:D
Uchumi iko mbaya saidi.
Samehea mimi bwana.

Amejichora kama amevaa kitenge :D:D:D:D:D

Hehehehe
Is this for real?

Mganga Hajigangui, sasa artist pia anajaribu kujichora.

Kitenge ni wewe.
Hiyo ni suit ya kevlar… Inspired by a tortoise shell.

ita sisi Fis eating ceremony na tuchange pesa bwana. hizi sasa ni head Swell unatuletea

Ni vile posters zangu kutoka Illinois zimechelewa kwa jam.

Alafu iyo ata si staedtler na crayons, Ni bic ya china! Uko na ungati unprecedented :D:D:D

Pesa ni ya petroli banaa Mkarara.
…na WD40…

kwani bro wa @Okiya yule wa summa cum laude ndiye anaprint?

he he…ni kukaa in testudo kama roman army juu ya CHLM au?

:D:D:D:D:D

Ni yeye.
Halafu wewe si utueleze vile date yako na @Kihii Kiaganu ilienda?

@Adeudeu ndio ako most experienced kwa hizi eating events, anafaa kuwa organizing secretary

Hahahah.ati mkarara. Jamaa utanimaliza siku moja

Hehehe, hana pesa ya kugonyo yudhe.

Apana. Huyo atanyamba stadium ibaki empty.

Kihii aliogopa kuingia Ole Sereni mimi pia nikakataa kuingia otel mlango wameweka curtain