Leo ni 22nd, they have 8 more days to receive pay
Watu walikuwa wanalipwa mapema ni banks around 24-25th, sijui police na KDF waliamua aje kuanza kulipa mapema tarehe 20 to 22. Naonanga wakisherekea mapema sana MKZ mshahara imeingia.
Anyway, any serious organisation should have sorted its employees salaries by now because of christmas festifities.
Kulipa a permanent employee mshahara 30th December just shows how that organisation ni ya ufala, ama they are experiencing cashflow problems which should be a warning ujitoe mapema kabla kunuke muanze kuchujwa kazi through witchunting.
Wen I remember viboko ishirin nilipewa na hizo mbwa wakati WA COVID nkasema Tu hizo mbwa zidedi
Fungua organization yako ulipane mishahara hata tarehe 15 ukitaka.
@Simiyu22 hebu kuom kiac. Wacha pombe. Wale d- wa haiti pesa zao zilichelewa. You said hakuna mpesa haiti. Now what about these here? Hakuna mpesa kenia?
Huyo Gaitho apunguze matusi
mshahara haijachelewa, bado kuna 23rd na 24th, io ndio time police hulipwa.
wale wako kwa police sacco huanza kula pesa yao by 18th.
Nini imekuuma na hiyo comment ama hujalipwa bado pia wewe? Ghaseer!
I have said an organisation, not that stupid kiosk you run.
Chunga vile unaongelesha ex-MI6. Jana hii Kuna a vagabond like you nilipeleka sayuni so chunga sana.
Omwani zima io kitu
End month bado.