imsomnia sacco

unafanya nini imsomnia sacco…
niko juu ya sql na php mbaya:(:frowning:

Nko na Njeri ma lovy dovy hivi

Niko mixxing…warembo nairobi kuiva hapa kwa floor

1 Like

Kumekucha…

Ati ulikuwa unauliza aje, sema sasa nimwambie.