Kama mtu ako na Degree ya Botany bado ana aminini kuhusu kuombea plants mvua basi tuko na shida na upungufu wa kiakili.
Akili za Praying Mantis zimefika mwisho sasa imekuwa the only source of income ni ku tax mkenya to oblivion. Hii story imefika Wadosi wake kule IMF sijui itakuwaje.