Imei, Jazzman

Hio spray ni ya nini?

1 Like

ni ya kufunika harufu ya nyama:D:D

5 Likes

Hehehe, kaa ni ya kunguni naomba hio kazi

1 Like

Siko parade square wala karibu na tv

1 Like

[ATTACH=full]72396[/ATTACH]

1 Like

Ndio naingia kijiji leo. Sikuona kilichofanyika ama kilichotendeka

Kwa ile dias ya CIC kwa kiwanja ilipigwa doom kaa 50litre
What was that?

[SIZE=16px]

[/SIZE]

@mukuna alikua ameenda huko. Na juu hua haogi ikabidi kunguni wauwawe kwanza.

1 Like