mimi zile pesa niko nazo pale temple run zinaeza fund budget ya kenya for a decade
Then you are not a social drinker. Wacha kunywa pombe kama maskini.
umeamulia bia za TZ @Lord Bailesh
Maskini atakunywa pombe kulingana na uwezo wake
Akiogopa kufikiria.Hata montpellier ni pombe
Nakumbuka ulisema unafanya TZ job. kamshande + bonus kanafika 90K za kenya? ndio unawekea watu screenshot za TSHS ikae ma mita. sababu hizo brand ni za TZ vile wamesema hapo juu. Chunga isiishe kuna wiki tano bado