Ili WaTanganyika wengi watie akili, instagram, Facebook na whatsapp nazo zizimwe

Kuna watu bado wanatetea jiwe kwa upuuzi linaloufanya kupitia Tcra, sasa ili twende sawa ni hizo IG, W, na FB kupigwa pin ili twende mwendo wa VPN

Na huko watakuja tu si wanalipwa kwa kusifia

Lumumba bhana. We acha tuu. Full kusifiana ushenzi.

Nilitaka nikupinge ila naona umefikiria sana.

Ikifungwa hiyo mitandao utaona lumumba watakavyojaa humu.

Hahah!! Kazi kweli

Hawa jamaa laana inawatafuna na bado mbele ya kiti cha enzi Wanayakujibu. Haiwezekani wewe ushike Biblia au Quran mbele ya waamini ukaapa afu baadae unakiuka kiapo!

naunga mkono

Mimi nakuunga mkono wewe

Time will tell…

Na team fulani na fulani zile nyingi nyingi zitakufa…

Cc: @Mahondaw

ha

haha nashukuru kwa kuniunga