Ile ID yako nyingine umekuja nayo pia?

Nahisi kwa kuwa tuko ukimbizini basi wengi wenye ID zaidi ya moja mmeamua kuja na zile ID muhimu tu!
Au mmekuja nazo zote? Halafu wale mliobadili majina mungeweka hata zili a.k.a zenu kutoka JF ili
tutambuane KJF zaidi.

Kule JF nilikuwa na ID mbili,yenye jina km hili na nyingine ya kiprofeshino kidogo, zote zilikuwa motoo.

Sema kwakua hapa nimekuja kujisitiri, nimeona nitumiee hii

hatutaki mazoea

Mazoea yapi tena?

Kuna bwege kapita na I’d yangu ya jf yumo humu ndani Ila hayupo active nkimkamata namnyonya kamasi

Ha ha ha ha Ndio Siku si nyingi JF itarudi

Nimekuja nayo

kama kawa google Manager

Mimi nimebadili… Wife alikuwa ashaijua ya Kule udukuzi ukawa mwingi

@mwanga lutila
@Mwanga-Lutila
@Mwanga_Lutila

I’d ya kwanza nilijiunga humu 2015 majuzi naifungua password inagoma.

Hiyo ya pili ndio walioikubali.

Hiyo ya tatu nilikosea emaili.

Nilihisi lazima watu waje na zile ID maarufu wajifanye ndo wao… tutawajua kwa post zao!

nzovwe1…The Prophet…Dundo_Boy…FirstP

unataka ID’s toka JF mtoa mada? hizo hapo, relax

Nimekuja nazo

ha hahaa

Poleni mlioibiwa ID zenu
Nalog off

Jf ulikua unaitwaje mkuu?

Ni rahisi kuwa na id ya mtu lakini sio kuwa kama yeye.

Kuna Nyani Ngabu alifungua id nyingine ila walimstukia tu kuwa huyu Nyani Ngabu.

Kiranga alishawahi kushtukiwa kuwa yeye ndio mwenye id ya Al-watan na hajawahi pinga hadi leo.

Uandishi unamtambulisha mtu.