Ii ni ushoga

kama kuna private investor anataka kufanya biashara ya stadium, anunue shamba kutoka kwa private kenyans, ajenge stadium yake hapo, akuwe anakodishia watu afanye biashara yake hapo.

Murkomen kama alifurushwa kwa deal ya Adani before apate share yake, akubali io ishafanyika.

Stadium zenye ziko za public waachane nazo zikiwa vile ziko

2 Likes

Arror does what he resolves and resolves what he does
Ruto kumi bila break

5 Likes

He’s resolved to auction kenya to the highest bidder

1 Like

You didn’t see this coming , anyway the journey continues,wacha wamwage Riggy G nje tuone kutakaa aje.
Arror has resolved to have him impeached.

1 Like

sijai support Arror siku ata moja. Lakini sababu nilijua tabia za wakenya, nilikuwa 100% sure yeye ndo atakuwa president. kusema ii ama ile ndio itafanyika, haimaanishi unapendekeza ifanyike.

hadi wakenya wabadilishe tabia zao, Arror ataendelea kutumia wakenya vile anataka.

1 Like

Si ufurahi ni Kalenjinga wenu

2 Likes

Murkomeno ni proxy ya nabii. Lazima Ako na cut yake

2 Likes

@Ngimanene-Na-matharo kuja kiasi…someone is not telling the truth

1 Like