Ninapika pilau ya prawns na ugali wa mtama uchaguzi ni wenu
Ngoja nikae hapa kando nidoee
Kwa wenyewe
Kuna dagaa mchele?
@Iceman 3D kapata dem wa lang’ata anapikiwa githeri
Lol hivi nimeitwa huku?
Picha jamani
[ATTACH=full]178696[/ATTACH][ATTACH=full]178697[/ATTACH]
Ugali wa mtama upo hivyo kama wa muhogo sijawahi kula huu ugali
Ndio huo mkuu.
Lakini ukenda msalani, hakikisha unabeba kisu cha kukatia Gogo… tehteehhh
Usimtishe bwana ni mzuri kwa afya
Eeeenh kumbe ndio unafanya hivyo
Nimeuogopa
Hapana unasafisha utumbo mkubwa, una fibre
Oooh nitajitahidi kuutafuta sijui nitauweza kula
Ukikusginda kukula, nitakuja nikulishe
Hahahaha haya ukinishinda nikamwambia ili unilishe
Nimewamiss saaana jamanii… Umemsahau Mbalizi1
Na Nokia83
Hawajapajua huku au…
Na Daby
Haa haa haa aiseee embu mwambie npo hapa welson airport anibakishie hyo gither