I Missed You member wa JF

https://www.youtube.com/watch?v=uZs1AHQBz24

Jf imetufanya tupendane kama ndugu japo sometimes tunakwaruzana…niliwamiss sana aiseee

kabisa chief, kukwaruzana ni moja ya sifa ya viumbe hai…nilikua nawaza ile hali ya hisia za mchanganyiko nitazipata wapi tena, atleast tumepata MAKUTANO JUNCTION.

Aiseehhh!!!

we miss you moreeeee

We miss you tooooo

msiende mbali tena plz

hatuendi jamani kwani bado tunakupendaaa

Wakati si milele… Japo hauna rivasi but one day JF willshine once again

nawapenda na mm

Amen to that chief

is that you Mshana Jr?

Hahaaaa. Siku zikageuka kama mwezi lol.

kabisa…nilikua nimeanza kuhisi kujifunza maisha bila ya JF

Tuko pamoja usijali
Nalog off

sawa

Soon itazoeleka kama original yenyewe…

Though inasemekana itarudi soon…

Kukwaruzana ni mambo ya kawaida,baadaye mnapatana na mambo yanaenda,uliwahi kudhani siku moja Trump na Kim wangeshikana mikono au kukaa meza moja…?

Yes sir its me Jr™

Cc: Mahandow

Tuko pamoja sana…